Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Siri ya Dk. Slaa Kususa Chadema Anayo Mkewe

IMEVUJA! Siri ya kitu kilicho kichwani mwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Wilbroad Slaa kuhusu mustakabali wake wa kisiasa umedaiwa upo kwa mkewe, Josephine Mushumbushi, Ijumaa Wikienda imevujishiwa.
Chanzo cha kuaminika kilicho karibu na mwanasiasa huyo, kimeliambia gazeti hili kuwa mke wa kiongozi huyo mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Tanzania, anafahamu uamuzi uliochukuliwa na mumewe, isipokuwa kinachosubiriwa ni siku ya kutoboa kwa Watanzania.
“Dk. Slaa ameshachukua uamuzi wake na mtu pekee anayefahamu alichokifikia ni mkewe, kinachosubiriwa hapa ni siku tu ya kuwahabarisha Watanzania, lakini kama kuna mtu zaidi mwenye kujua kwa kina mwisho wa suala hili kwa sasa ni mkewe,” alisema mtoa habari huyo bila kutoa ufafanuzi zaidi.
Alipotafutwa Dk. Slaa ili aweze kuzungumzia suala hilo, simu yake haikupatikana. Jitihada zinaendelea.
Sakata la Dk. Slaa na chama chake lilijitokeza baada ya Chadema kumkaribisha waziri mkuu aliyejihuzulu, Edward Lowassa aliyejiunga na chama hicho na kuteuliwa kuwania urais kupitia muungano wa Ukawa.
GPL
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 2025 24hours | Designed By Code Nirvana
Back To Top