Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

UNAKUMBUKA HII KUHUSU CHELSEA?


Jumamosi ya wiki iliyopita, Chelsea ilitoka sare ya kufungana goli 2-2 dhidi ya Swansea City katika mechi ya ufunguzi wa ligi kuu England.
Wakiwa ndio mabingwa watetezi, Chelsea hawajasajili mpaka sasa zaidi ya Radamel Falcao ambaye yupo Stamford Bridge kwa mkopo.
Timu nyingine zimetumia pesa kuboresha vikosi vyao, lakini Jose Mourinho amebaki na kikosi chake kile kileambacho alikuwanacho msimu uliopita.
Msimu uliopita, Swansea walikufa mara mbili dhidi ya Chelsea, lakini msimu huu wameonekana kuwa na nguvu.
Je, hii ni dalili ya msimu huu kuwa mgumu kwa Mourinho?
Hivi unajua kwamba kikosi cha Chelsea kilichocheza na Swansea msimu uliopita ndio kilekile kilichocheza na tena na Swansea msimu huu kasoro mchezaji mmoja tu?
Angalia hapa utaona kikosi cha Chelsea kilichocheza na Swansea Septemba 2014 na kilichocheza Agosti 2015, utaona kuwa kuna tofauti ya mchezaji mmoja tu.
Kikosi cha Chelsea
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top