Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

WEMA SEPETU Kufanyiwa Njama Akutwe na Madawa ya Kulevya..Apewa Onyo Kali..

Msanii wa filamu nchini na mwanasiasa chipukizi ametahadharishwa kuwa makini na marafiki wabaya wenye nia ya kuua ndoto zake za kuwa mwanasiasa na msanii anayetarajia kuiwakilisha Tanzania kimataifa.

Haya yameongelewa baada ya kuonekana Mara Kwa Mara kwenye kumbi za starehe na binti aliyejulikana Kwa jina moja la Badra. Marafiki wa karibu na Badra wamesema hali ya Badra ni mbaya Sana Kwa kile kinachojulikana anajihusisha na madawa ya kulevya na kulewa pombe za kienyeji. .
.
Mpaka sasa marafiki wa Badra wana wasiwasi kwamba Wema atakutwa na madawa hayo hali itapelekea kuua ndoto zake hivyo wanatarajia kufikisha madai hayo polisi Badra achunguzwe pia kumnusuru Wema kwenye njama hizo. .
.
Mmoja wa Rafiki yake Badra ambaye pia ni Rafiki wa Wema alisema " kipindi Diamond yuko na Peny Badra alikua akimtukana Wema live na kumdhalilisha hata Diamond aliporudi kwa Wema aliendelea kumtukana mitandaoni na Zari alipopata mimba Badra alianzisha kampeni kumsema Wema ni tasa hivyo siamini kama ana nia nzuri na Wema au ametumwa na wanaomchukia Wema " Alisema Rafiki huyo

Hata hivyo watu wa karibu na Wema wamepinga vikali kwamba Wema yuko makini Sana anajua anachokifanya ila wanasema baadhi ya ndugu wa Badra ambapo imebainika anahusiana na msanii Diamond, wako kwenye vikao vya siri kuhakikisha Wema na Diamond wanarudiana.

Mpaka kumaliza habari hii tunaomba @wemasepetu Kwa usalama wako achana na Badra pia kama kuna watu wana mpango urudiane na Diamond ni maisha yako lkn Mpaka sasa Diamond ni baba na anampenda mama mtoto wake. Ikuingie akilin...so mfukuzie mbali Badrah kabisa
Read more at http://websta.me/n/mrekebishatabia#IEryXaiHkCPBYklf.99
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 2025 24hours | Designed By Code Nirvana
Back To Top