Wakati jina la Latifah mtoto wa Diamond na Zari likizidi kukuwa, rafiki
wa karibu wa aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Ssemwanga, Kinglawrence
amemtupia dongo Diamond akisema hakuhitajiki kipimo chochote cha
vinasaba DNA ili kujua kuwa, Latifah si mtoto wa Diamond kwani mambo
yamejionesha yenyewe baada ya miezi tisa.
Kwenye mtandao wa Instagram, jamaa huyo aliweka picha ya Ivan
aliyoiunganisha na picha ya Latifah ili wadau waone walivyofanana. Hapa
ana maana kuwa, mtoto huyo ni wa Ivan.
Diamond alipotafutwa aseme neno kuhusiana na madai hayo yote, alipuuza
kuhusu mtoto ni wake au si wake, akasema ana furaha iliyopitiliza ya
kupata mtoto na kuhusu jina haoni kama kuna tatizo.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Monday, 10 August 2015
Post a Comment