Kuna stori zimeenea mitandaoni kwamba kuna mtu ambae amekamatwa na
mabilioni ya pesa Dodoma, kingine ni kwamba amekamatwa na simu ikiwa na
maelekezo kwamba pesa hizo ni za kuwapatia Wajumbe.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameandika ujumbe @Twitter kukanusha kuhusika na mtu huyo
- “Kuna taarifa za uongo zinazoenezwa kwamba kuna “Mtu wa Membe” amekamatwa na pesa Dodoma“
Kwenye Tweet nyingine Waziri Membe ameandika hivi
- ”siasa hizi ni za hovyo kwani hazitajenga Taifa letu. Naomba
msihadaike na watu wanaotaka kututia doa baada ya kukosa uchafu dhidi
yetu” @BernardMembe
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Politics
on Saturday, 11 July 2015
Post a Comment