Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Utafiti wa TEDRO Kuhusu Uchaguzi Mkuu: Lowassa Anaongoza kwa Kukubalika akifuatiwa na Mwigulu Nchemba.....Dr. Slaa Yupo Nafasi ya Tatu

Kutokana na kero zinazowakumbuka wananchi kuhusu suala la elimu, maji na afya taasisi ya utafiti wa Maendeleo ya Elimu nchini Tanzania (TEDRO) imetoa ripoti ya tafiti yake iliyofanya mikoa mbali hapa nchini juu ya Viongozi wanaoaminiwa na wananchi kuwa wakikamata nchi wanaweza kumaliza matatizo hayo.
 
Kutokana na ripoti hiyo ya Taasisi ya utafiti (TEDRO) inaonesha kuwa endapo uchaguzi ukifanyika leo chini Tanzania, Mh. Edward  Lowassa, Mwigulu Nchemba na  Dr. Slaa ndio wenye nafasi kubwa ya Kushinda nafasi hiyo.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa TEDRO Joseph Kateli amesema Utafiti huo umefanyika kwa kuzungumza na Watanzania kadha wakadha mikoa tofauti ya Tanzania na kila mmoja alikuwa na uhuru wa kumtaja kiongozi anayemtaka
 
Kura hizo ni kama ifuatavyo
1. Edward Lowassa 26%
2. Mwigulu Nchemba 23%
3. Dr. Wilbroad Slaa 22%
4. Ibrahim Lipumba 7%
5 Prof. Mark Mwandosya 6%
6. Mizengo Pinda 5%
7. John Magufuli 3.8%
8. Bernard Membe 3%
9. Fredrick Sumaye 2%
10. Steven Wassira 1.80%
 
Nini maoni yako juu ya utafiti huu?
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top