Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

ANGALIA PETR CECH ALIVYODHIHAKIWA BAADA YA ARSENAL KUTUNGULIWA 2-0 EMIRATES

Katika mchezo wake wa jana dhidi ya West Ham, mlinda mlango mpya wa Arsenal, Petr Cech alikuwa na mwanzo mbaya katika ligi kuu England baada ya kuruhusu mabao mawili ya kizembe katika dimba la Emirates.
Goli la kwanza lililofungwa na Cheikhou Kouyate Cech alionekana kuchelewa kutoka langoni na kupelekea kuukosa mpira hatimaye kupigwa kichwa na Kouyate na kutinga moja kwa moja kimiani.
Kwa upande wa goli la pili ambalo lilifungwa na Mauro Zarate Cech alionekana kusita kwenda upande ambao mpira ulikwenda na wakati akiufuata mpira huo tayari alikuwa ameshachelewa na kusababisha kuruhusu goli la pili kuingia kirahisi.
Baada ya hayo yote kutokea, hivi ndivyo Cech alivyokejeliwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii hasa Twitter.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top