Mrembo na Mwanamuziki Jokate Amejibu Swali ambalo wengi walikuwa
wanapenda kusikia kama kweli yeye na Ali Kiba ni Wapenzi ama ni Project
tu....Katika Mohojiano na Gazeti la Champion jokate amejibu hivi:
Wewe na Ali Kiba mna uhusiano gani?
- Tuna uhusiano mzuri sana kwenye kazi kiasi kwamba anaweza kunishauri
mahali ambapo ninakwenda ndivyo sivyo, mimi pia hufanya hivyo pindi
anapohitaji ushauri, kwenye maisha binafsi mimi na Ali Kiba ni washikaji
wakubwa tena sana na siyo kimapenzi kama watu wengi ambavyo wamekuwa
wakizungumza vitu ambavyo havina ukweli wowote.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Friday, 12 June 2015
Post a Comment