Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Video; Ajali Mbaya ya Noah Yaua Watu 8 Jijini Mwanza


Watu nane wafariki dunia na wengine wane kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya Noah iliyokua ikitokea shinyanga kuelekea mwanza.

Ajali  hiyo  imetokea  jana  jioni  Wilayani  Misungwi  Mkoani  Mwanza  ambapo  mashuhuda  wa  ajali  hiyo  wamedai  chanzo  chake  ni  mwendo  kasi  wa  Dereva  uliomfanya  ashindwe  kuimudu  gari  wakati  akikwepana  na  lori.

Zaidi, angalia  video  hapo  chini
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top