Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MASTAA WA MAJUU, KIM AJIVUNIA KANYE WEST KUITWA DOKTA


Mwanamitindo na mtangazaji maarufu wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian.
Chicago, Marekani
MWANAMITINDO na mtangazaji maarufu wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian ameonesha furaha sambamba na kujivunia mumewe, Kanye West kutunukiwa shahada ya udaktari wa sanaa (PHD) katika Chuo cha School of Art Institute jijini Chicago.
 
Kanye West alipotunukiwa shahada hiyo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, staa huyo aliyekuwepo nchini Brazil akikitangaza kitabu chake kiitwacho Selfish, alishindwa kuhudhuria katika siku ya kutunikiwa mumewe na kuamua kuweka mapenzi yake kwa kuandika;
“Dkt. Kanye West!!!! Najivunia kuwa na wewe mpenzi na najua hata mama yako atakuwa anajivunia kwa hilo.”
Kanye na Kim walioona mwaka 2014 pande za Forte di Belvedere in Florence, Italia.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 2025 24hours | Designed By Code Nirvana
Back To Top