Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Keisha naye kuwania ubunge mwaka huu?


Mzuka wa siasa unazidi kuwaingia wasanii wengi wa muziki nchini. Keisha ni mmoja wao.

Akizungumza na Mpekuzi, Keisha amesema naye pia ana mpango wa kuingia rasmi kwenye kuwania nafasi ya uongozi wa kisiasa japo inaweza isiwe mwaka huu.
 
“Napenda sana harakati za siasa, nimeshawahi kufikiria lakini bado sikupata jibu sahihi,” amesema.
 
 “Kwahiyo sasa hivi siwezi kusema nipo tayari ama vipi. Lakini nikiwa tayari nitaweka wazi kila kitu. Mimi ni mwana-CCM damu kabisa nimekunywa maji ya bendera.”
 
Miongoni mwa wasanii watakaogombea ubunge mwaka huu ni pamoja na Profesa Jay na Afande Selle.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top