Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Habari Ikulu,Salva Rweyemamu amenukuliwa na
Redio BBC Swahili akisema kuwa Rais wa Burundi,Pierre Nkurunziza hayupo
Tanzania. Akizungumza na BBC Swahili, Rweyemamu amesema kuwa Nkurunziza
alishaondoka Tanzania na hivyo Tanzania haina cha kusema juu ya alipo
Nkurunziza.
The saga continues!
Msemaji wa Nkurunziza amethibitisha kuwa Nkurunziza ameondoka Tanzania.
Lakini,amekataa kusema alipo kwa sababu za kiusalama. Msemaji huyo
amedai kuwa Rais Nkurunziza bado anadhibiti utawala wa Burundi
Udaku Special Blog
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Updates
on Thursday, 14 May 2015
Post a Comment