Msharo & Man M 'The Winner' - Bolingo Nangaye
Audio Producer: Abah.
Video Diector: Herry Kafuk...
Loading...
VERA Sidika Ajibu Mapigo ya Huddah Monroe Kwa Kuweka Picha Hii ikionyesha Chuchu zake zilivyo

If these socilates are not posting nudes they are busy calling out each
other online. Well it’s barely a week since Vera played therapist by
asking Huddah to tone down on her cocaine after a photo her naked boobs
surfaced online.
Vera has...
Filed Under:
Gossip
on Thursday, 27 August 2015
Tazama Picha za Mafuriko ya Wanawake Waliojitokeza Millenium Tower Kumsikiliza Lowassa, Wengi Wamekosa Nafasi na Kubakia Nje
Ni
mkutano wa wanawake wa ukawa na mh lowasa hapa jengo la millenium TOWER
Dar es salaam,hizi ni picha za awali,hizi ni picha za awali ambazo
nimekuwekea hapa kutoka katika mkutano huo.LOWASA bado hajawasili hapa
ila idadi ya wanawake waliojitokeza...
Filed Under:
Politics
on
Baada ya Kufunguliwa Kamati Mpya ya Miss Tanzania yawekwa Wazi..Jokate Ndani....

Baada ya kufunguliwa kwa mashindano ya kumtafuta Miss Tanzania na Baraza
la Sanaa la Tanzania (BASATA), Kamati ya Maandalizi ya Michuano hiyo
imekuja na mikakati ya kurejesha hadhi na heshima ya mashindano hayo
makubwa ya kusaka walimbwende...
Filed Under:
Gossip
on
Tisa wafariki kwa moto Buguruni

Nyumba moja iliyoko maeneo ya Buguruni Malapa Manispaa ya Ilala
Jijini Dar es salaam, imeteketea kwa moto na kusababisha vifo vya watu
tisa. Mashuhuda wa Tukio hilo wamesema chanzo cha moto huo
hakijajulikana, na mpaka sasa tayari miili mitano...
Filed Under:
Updates
on
Hatimaye UKAWA Wakubaliwa Kutumia Uwanja wa Jangwani Jumamosi hii Kuzindua Kampeni zao

Malalamiko
ya vyama vinavyounda UKAWA ya kakatazwa kutumia uwanja wa jangwani
kuzindua kampeni yameanza kufanyiwa kazi na tume ya taifa ya uchaguzi
na taarifa zilizotolewa na mkuu wa idara ya mawasiliano ya CHADEMA
Bw.Tumaini...
Filed Under:
Politics
on
Mbowe Akata Rufaa Mahakama kuu Dhidi ya Hukumu yake

Mwenyekiti
wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe amekata rufaa Mahakama Kuu kupinga
hukumu iliyotolewa dhidi yake Julai, mwaka huu, na kumtoza faini ya Sh1
milioni baada ya kupatikana na hatia katika kosa la jinai.
Mbowe
alitozwa faini...
Filed Under:
Politics
on
Picha: Mavazi ya Kiafrika yalivyo tikisa kwenye maonyesho ya 'Afropunk 2015' New York

Maonyesho ya mavazi ya Kiafrika 'Afropunk' kwa mwaka wa 2015 mjini New York yaliyo
fanyika tarehe 23rd August 2015 ambapo kwanzia 2005 yamekuwa
yakifanyika kwenye jiji hili. Tizama vile vazi la kitenge
linavyopendeza.
...
Filed Under:
Gossip
on
MKAPA Anguruma Tena, LOWASSA Vizingiti Kila Kona, NEC Yashitukia Vyama Vya Siasa, + UKAWA Yafanyiziwa! (Audio)

Kama hukuwa karibu na radio yako asubuhi hii uchambuzi wa magazeti @CloudsFMutakuwa umekupita. Zimesikika kubwa za leo kwenye vichwa vya habari baadhi zikiwa..
Vyama vya Siasa mtegoni, ratiba ya kampeni ya zua mjadala… UKAWA wafanyiziwa wakwama...
Filed Under:
Updates
on
Video: Wanawake hawa walio oana nchini Tanzania, Wameishi kwa muda wa miaka 15 sasa

Wegesa na Nyanswi. Ni wanawake wawili kutoka kwa jamii ya Wakuria.
Wameoana kwa miaka 15. Wajane wasio na mrithi wa kiume hawawezi kurithi
mali. Wagesa alimuoa Nyanswi kama mkewe ili kutatua tatizo hilo. Nyanswi
ana wavulana kwa hivyo...
Filed Under:
Gossip
on
Lulu amhenyesha Mboto ukumbini

Haji Salum ‘Mboto akisaidia kulibeba gauni la Lulu.
DIVA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni
amemhenyesha staa mwenzake wa filamu, Haji Salum ‘Mboto’ baada ya kumpa
kibarua cha kulishika gauni lake lisiguse chini.
Tukio...
Filed Under:
Gossip
on Wednesday, 26 August 2015
Ukweli wa viumbe waishio angani, -4

Aliens wadaiwa kutinga Ikulu ya Marekani!
Wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikielezea muunganiko wa
Aliens na makundi ya wanasayansi wa Marekani ambao wamekuwa wakielezwa
kuwa huingia mikataba mbalimbali ya kubadilishana teknolojia na uvumbuzi
...
Filed Under:
Updates
on
Siri 4 matusi ya Diamond kwa Diva

Loveness Malinzi ‘Diva’
NI mtifuano! Agosti 24, mwaka huu ilikuwa siku mbaya kwa nyota wa
Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ au baba Tiffah na mtangazaji
anayekimbiza kwa sauti tamu hewani, Loveness Malinzi ‘Diva’ kufuatia
kupishana lugha...
Filed Under:
Gossip
on