Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Video: Msharo & Man M (The Winner) - 'Bolingo Nangaye'

Msharo & Man M 'The Winner' - Bolingo Nangaye Audio Producer: Abah. Video Diector: Herry Kafuk...

VERA Sidika Ajibu Mapigo ya Huddah Monroe Kwa Kuweka Picha Hii ikionyesha Chuchu zake zilivyo

If these socilates are not posting nudes they are busy calling out each other online. Well it’s barely a week since Vera played therapist by asking Huddah to tone down on her cocaine after a photo her naked boobs surfaced online. Vera has...

Tazama Picha za Mafuriko ya Wanawake Waliojitokeza Millenium Tower Kumsikiliza Lowassa, Wengi Wamekosa Nafasi na Kubakia Nje

Ni mkutano wa wanawake wa ukawa na mh lowasa hapa jengo la millenium TOWER Dar es salaam,hizi ni picha za awali,hizi ni picha za awali ambazo nimekuwekea hapa kutoka katika mkutano huo.LOWASA bado hajawasili hapa ila idadi ya wanawake waliojitokeza...

Baada ya Kufunguliwa Kamati Mpya ya Miss Tanzania yawekwa Wazi..Jokate Ndani....

Baada ya kufunguliwa kwa mashindano ya kumtafuta Miss Tanzania na Baraza la Sanaa la Tanzania (BASATA), Kamati ya Maandalizi ya Michuano hiyo imekuja na mikakati ya kurejesha hadhi na heshima ya mashindano hayo makubwa ya kusaka walimbwende...

Tisa wafariki kwa moto Buguruni

Nyumba moja iliyoko maeneo ya Buguruni Malapa Manispaa ya Ilala Jijini Dar es salaam, imeteketea kwa moto na kusababisha vifo vya watu tisa. Mashuhuda wa Tukio hilo wamesema chanzo cha moto huo hakijajulikana, na mpaka sasa tayari miili mitano...

Hatimaye UKAWA Wakubaliwa Kutumia Uwanja wa Jangwani Jumamosi hii Kuzindua Kampeni zao

Malalamiko ya vyama vinavyounda UKAWA ya kakatazwa kutumia uwanja wa jangwani kuzindua kampeni yameanza kufanyiwa kazi na tume ya taifa ya uchaguzi na  taarifa zilizotolewa na mkuu wa idara ya mawasiliano ya CHADEMA Bw.Tumaini...

Mbowe Akata Rufaa Mahakama kuu Dhidi ya Hukumu yake

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe amekata rufaa Mahakama Kuu kupinga hukumu iliyotolewa dhidi yake Julai, mwaka huu, na kumtoza faini ya Sh1 milioni baada ya kupatikana na hatia katika kosa la jinai. Mbowe alitozwa faini...

Picha: Mavazi ya Kiafrika yalivyo tikisa kwenye maonyesho ya 'Afropunk 2015' New York

Maonyesho ya mavazi ya Kiafrika 'Afropunk' kwa mwaka wa 2015 mjini New York yaliyo fanyika tarehe 23rd August 2015 ambapo kwanzia 2005 yamekuwa yakifanyika kwenye jiji hili. Tizama vile vazi la kitenge linavyopendeza. ...

MKAPA Anguruma Tena, LOWASSA Vizingiti Kila Kona, NEC Yashitukia Vyama Vya Siasa, + UKAWA Yafanyiziwa! (Audio)

Kama hukuwa karibu na radio yako asubuhi hii uchambuzi wa magazeti @CloudsFMutakuwa umekupita. Zimesikika kubwa za leo kwenye vichwa vya habari baadhi zikiwa.. Vyama vya Siasa mtegoni, ratiba ya kampeni ya zua mjadala… UKAWA wafanyiziwa wakwama...

Video: Wanawake hawa walio oana nchini Tanzania, Wameishi kwa muda wa miaka 15 sasa

Wegesa na Nyanswi. Ni wanawake wawili kutoka kwa jamii ya Wakuria. Wameoana kwa miaka 15. Wajane wasio na mrithi wa kiume hawawezi kurithi mali. Wagesa alimuoa Nyanswi kama mkewe ili kutatua tatizo hilo. Nyanswi ana wavulana kwa hivyo...

Lulu amhenyesha Mboto ukumbini

Haji Salum ‘Mboto akisaidia kulibeba gauni la Lulu. DIVA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni amemhenyesha staa mwenzake wa filamu, Haji Salum ‘Mboto’ baada ya kumpa kibarua cha kulishika gauni lake lisiguse chini. Tukio...

Ukweli wa viumbe waishio angani, -4

Aliens wadaiwa kutinga Ikulu ya Marekani! Wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikielezea muunganiko wa Aliens na makundi ya wanasayansi wa Marekani ambao wamekuwa wakielezwa kuwa huingia mikataba mbalimbali ya kubadilishana teknolojia na uvumbuzi ...

Siri 4 matusi ya Diamond kwa Diva

Loveness Malinzi ‘Diva’ NI mtifuano! Agosti 24, mwaka huu ilikuwa siku mbaya kwa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ au baba Tiffah na mtangazaji anayekimbiza kwa sauti tamu hewani, Loveness Malinzi ‘Diva’ kufuatia kupishana lugha...
© Copyright 2025 24hours | Designed By Code Nirvana
Back To Top