Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Zari Aahidi Kupiga Picha za UCHI Ili Kuwafunga Mdomo Wanamsema Vibaya

Ubavu wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ amefunguka kuwa atapiga picha moja ya utupu ili kuwakata vilimi wanaopenda kumzungumzia vibaya.

Zari ametoa kauli hiyo hivi karibuni kufuatia wafuasi wa Mtandao wa Instagram kumnanga kuwa hakutumia busara kuposti picha zake za nusu utupu akiwa mjamzito.

Alisema kwa kuwa watu wameshindwa kumuelewa kipindi hicho, wakati ujao atapiga picha za utupu ili wamuone vizuri kama alivyofanya mwanamuziki wa Marekani, Kimberly Kardashian ‘Kim Kardashian’.

“Nitapiga ya utupu kabisa ili muone nikiwa mjamzito. Uzuri ni kwamba baba T (Diamond) ameshafikiria kuhusu kutafuta mdogo wa Princess Tiffah (mtoto wa Diamond),” aliandika Zari katika mtandao wake wa Instagram huku akitupia picha ya utupu ya Kim Kardashian akiwa mjamzito.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top