MSANII wa kizazi kipya, Snura Mushi, ameweka wazi kwamba kama kazi za
sanaa anazofanya hazitomwendea vema atarudi katika kazi yake ya ususi.
Snura alisema kazi hiyo anaimudu na kama hasingekuwa msanii angeitumikia hadi leo kwa kuwa haikuwahi kumwangusha kiuchumi.
“Nilikuwa msusi mzuri kiasi kwamba sikukosa wateja lakini kutokana na
majukumu kunizidi katika sanaa ya muziki na maigizo nimeamua kuikacha
kwa sasa lakini ipo siku nitairudia,” alisema.
Snura kwa sasa anatamba na wimbo wake wa ‘Najidabua’ aliouachia hivi
karibuni, lakini pia aliwika na wimbo wake wa ‘Majanga’ na ‘Ushaharibu
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Post a Comment