Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Picha: Mastaa walio zaa na kuachika wakabaki bado na umbo la mvuto 'Hottest single moms'

Biashara ya kutoa burudani kwenye ulimwengu ni kazi yenye vishawishi vingi mno kiasi cha kwamba kama mastaa wapo kimapenzi nivigumu gudumu katika penzi lao. Nawanapo achana na walikuwa wana watoto basi wanawake lazima waanzishe maisha yao mengine upya wakiwa na mtoto au watoto wao.
Kwavile wavulana wengi hawapendi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke ambaye tayari ana mtoto kutokana na labda kupoteza mvuto na au muonekano kama wanavyo onekana kwenye mitandao ya kijamii, Lakini baadhi ya mastaa ulimwenguni wamefanikiwa kuonyesha kuwa unaweza ku zaa na kuwa na mtoto wako huku mvuto wa kimapenzi ukabaki pale pale.

Hii ni list tu niliyo iona ina warembo lakini walikuwa kwenye mapenzi na kupata mtoto kabla ya kuachana.

Amber Rose.

Amber Rose alipata mtoto wake Sebastian Taylor Thomaz kutoka kwa aliyekuwa mume wake Wiz Khalifa. Waliachana mwaka mmoja baada ya kupata mtoto huyo lakini bado anauwezo wa kumiliki mtoto wake na kumlea vyema.

Draya Michele

'Reality TV Staar' Draya Michele ambaye amepata lawama nyingi sana kwenye mitandao kuwa haangaiki kumjali mtoto wake.

Jennifer Lopez.

Turejee 2008, J-Lo alipata mapacha kutoka kwa mwanamuziki Marc Anthony. Anamiaka 45 na bado anaonekana mrembo kama miaka 20 iliyo pita.

Blac Chyna

Mwaka mmoja baada ya kukutana na Tyga, Blac Chyna alizaa mtoto King Cairo. Najapokuwa kwasasa yupo single, Kwenye Instagram anaonyesha umbolake zuri lilivyo.

Lauren London

Lauren London alizaa mtoto wakiume 2009. Mtoto huyo alizaliwa miezi michache baada ya kuachana na Lil Wayne. Alikuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu na rapper wa New Orleans.

Christina Milian

Christina Milian ana binti anayeitwa Violet aliye zaa na The-Dream. Ameachana na muimbaji huyo wa Rn'B miezi michache iliyo pita.

Ciara

Miezi michache tu baada ya kuzaa mtoto wake wa kiume, Ciara alikuwa 'Single Mother. Akafanya juu chini ili kurudisha hali yake kwa kuangusha kilo 27 kutoka kwenye mwili wake.

Hiyo ndiyo list niliyo kuandalia leo.
Umeionaje? Nipe maoni yako hapo chini!
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top