Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

NI ARSENAL VS CHELSEA. JE WENGER ATAWEZA KUFUTA UKIBONDE KWA MOURINHO?

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho ameingia tena kwenye headlines kwa kauli zake anazozitoa kuelekea mchezo wa Ngao ya Hisani,
Chelsea itakutana na Arsenal August 2 saa 11 jioni kwenye uwanja wa Wembley wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 90,000. Mourinho ambae anajulikana kwa kuwa na uwezo wa kucheza na akili ya kocha wa timu pinzani amerudi na kauli nyingine dhidi ya Wenger.
“Sifikirii kuhusu nini kilitokea nyuma, nafikiria kuhusu mechi mimi kushinda mechi sita, saba, nane au tisa bila kupoteza mechi hata moja haiweki utofauti wowote na sifikiri kama itasaidia chochote kwenye huu mchezo, mechi inayofuata kwangu haina mahusiano yoyote na mechi iliyopita
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger hajawahi kuifunga klabu ya Chelsea hata mara moja ikiwa chini ya Jose Mourinho, wachambuzi wa masuala ya soka wanatafsiri kauli za Mourinho kama ni njia ya kumdanganya kocha wa Arsenal Arsene Wenger ili ajiamini zaidi.Mourinho amekuwa na rekodi nzuri dhidi ya kocha wa Arsenal kwani akiwa na kikosi cha Chelsea amewahi kucheza na Arsenal mechi 12 na kushinda mechi saba na kutoka suluhu mechi tano hivyo hiyo ni sababu inayoendelea kumtia jeuri.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top