Thierry Henry amesema kwamba anaamini kwa kipindi hiki
kilichobaki kwenye dirisha la usajili anaweza kukiita
kama msimu wa Arsenal. Anachomaanisha ni kwamba kipindi hiki lazima
Arsenal isajili Striker na Midfielder.
Akiwa kwenye uchambuzi wa mechi ambayo iliisha kwa draw ya bila bila
Henry alisema,“Nadhani itakua ni wiki kubwa sana, swali ni kwamba
watanunua mchezaji, walikua wanakosa wachezaji sana leo usiku, bado
wanahitaji holding midfielder na striker pia. Tulikua tunasema hivi
tangu mwanzo wa msimu”.
Katika muendelezo wa mazungumzo hata Henry alisema pia hakuna jinsi
zaidi ya kutumia pesa ili kupata mchezaji anaehitajika kama hayupo
kwenye kikosi hivi sasa.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Sport
on Wednesday, 26 August 2015
Post a Comment