
Na Richard Bukos
Msanii wa filamu mwenye vituko kibao, Idrisa Makupa ‘Kupa’ juzikati aliwaacha watu midomo wazi baada ya kunaswa akiwa beneti na mwanaume tata maarufu mjini anayefahamika kwa jina la Danny.Wawili hao walibambwa na paparazi wetu ndani ya Ukumbi wa Escape One uliopo Mikocheni jijini Dar kulikokuwa na onesho la mwanamuziki Christian Bella.

Msanii wa filamu mwenye vituko kibao, Idrisa Makupa ‘Kupa’ akiwa na mwanaume tata huyo.
Gumzo lilianza pale Danny alipomsogelea Kupa na kumnong’oneza, jambo lililowafanya watu wahoji ukaribu wa kijana huyo na msanii huyo unakujaje!Hata hivyo, wawili hao baada ya kuona wanapigwa sana picha ‘walimtoka’ paparazi wetu hadi walipokuja kunaswa tena baadaye wakiwa wamegandana, hali iliyotafsiriwa tofauti.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Wednesday, 12 August 2015
Post a Comment