Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Ile ishu ya Mourinho na daktari wa timu mambo yamekua hivi tena

Hivi karibuni ulisoma story kuhusu J.M kukasirishwa na kitendo cha daktari wa timu hiyo
kwenda kumtibia mchezaji na kumtoa nje mchezaji mwingine wakati Chelsea wakiwa nyuma kwa idadi ya wachezaji. Pia walikua wana-struggle kupata ushindi kwenye mechi yao ya ufunguzi.

Unaambiwa kwenye gari la timu Jose alimwambia Doctor huyo hata kama ukiwa ni mtu jezi au doctor wa timu, lazima uelewe mchezo unavyoenda. Habari mpya iliyoripotiwa na Teleghraph hivi sasa ni kwamba Doctor huyo ametolewa kwenye bechi la Chelsea.

Zaidi ni kwamba Doctor huyo hatahudhuria mazoezi wala kufikia kwenye mechi na kuingia kwenye hotel ya wachezaji. Hivi sasa anaweza kuendelea kuwa Doctor lakini wa level ya chini kulinganisha ya ile ya mwanzo. Taarifa hii ni kwa mujibu wa Telegraph.

Mashabiki wengi wa Chelsea wapo agaist Mourihno jinsi alivyo deal na hili swala kuanzia uwanjani hadi nje ya uwanja.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top