Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

HABARI NJEMA KWA MASHABIKI WA ARSENAL.

Meneja wa Arsenal Mfaransa Arsene Wenger amesema kuwa kiungo wa klabu yake Jack Wilshere anatarajiwa kurejea tena dimbani wiki mbili zijazo baada ya kupata maumivu ya kifundo cha mguu.

Wilshere mwenye miaka 23 aliumia katika mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya Agosti 1 ambapo ilidhaniwa angekaa nje ya uwanja kwa miezi miwili. Lakini Wenger amesema kiungo huyo wa kimataifa wa Uingereza anatarajiwa kupona ndani ya muda mfupi ujao.
Wakati huo huo mchezaji mwenzake Tomas Rosicky aliyefanyiwa upasuaji wa goti anatarajiwa kukaa nje ya dimba kwa miezi miwili. Akiongea kabla ya kukutana na Crystal Palace katika mchezo wa jumapili, Wenger alisema ''Jack atakua nje kwa wiki nne na tiyari zimepita wiki mbili anaendelea vizuri''
Kiungo Rosicky mwenye miaka 34 aliumia mwezi juni alipokua akiitumikia timu yake ya Jamhuri ya Czech iliyomenyana na Iceland katika michuano ya kufuzu Euro 2016.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top