Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Diamond asema alilipwa shilingi milioni 100 ili kutumbuiza jukwaa moja na Alikiba katika show ya ‘Kiboko Yao’

Mashabiki wengi wa muziki wa Bongo wanatamani siku moja kuwaona Diamond na Alikiba wanafanya kazi pamoja, kama ambavyo Wizkid na Davido ambao wameahidi kuachia joint yao siku si nyingi baada ya kuthibitisha kuwa hakuna beef kati yao.
Upande wa Diamond amesema kuwa yupo tayari kufanya chochote katika muziki endapo kina maslahi kwake. Kuthibitisha hilo ametoa mfano kuwa alikubali kushiriki tamasha la ‘Kiboko Yao’ lililofanyika Leaders Club mapema mwaka huu ambalo na Alikiba pia alitumbuiza, kwasababu lilikuwa na maslahi mazuri kwake.

“Unajua mi nafanya biashara, na kitu chochote ambacho kwangu mi kinakuwa kina maslahi mi siwezi kukataa kukifanya.” Diamond ameaimbia 255 ya XXL ya Clouds Fm.

Baba Tiffah ameongeza kuwa alilipwa shilingi milioni 100 ili kutumbuiza kwenye tamasha hilo.

“Nakupa mfano hapa katikati kulikuwa na show ilivyokuja mi nikawaambia hii show ni biashara kwangu mi sikatai lakini you have to pay me, show mi nimelipwa milioni 100 ndo nimetumbuiza, siamini kama kuna msanii wa kiTanzania alishawahi kulipwa milioni 100, hili swala si umetengeneza kama beef, tuifanye kibiashara, nikalipwa milioni 100, nisiwe mnafiki milioni 100 sababu show hizo natozaga nikiwa na show nje labda Kenya , Rwanda naweza nikapiga show milioni 120, 130 lakini ilikuwa mara ya kwanza Tanzania milioni 100, lakini kwasababu ilikuwa beef na sio kwamba show haikulipa, ililipa kwasababu ilikuwa imeshatengeneza tension yaani flani na flani kwahiyo tuzitumie hizi vitu kimaslahi zaidi.”
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top