Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Amber Rose ahusishwa kwenye skendo ya kuwashawishi 'models' kwenye vitendo vya ukahaba

Modelling agency wa Los Angeles anatumia picha ya Amber Rose kuwashawishi models chipukizi wajiingize kwenye umalaya, Hii ni kwamujibu wa TMZ.
Akitumia njia za zamani za Amber Rose kama account yake ya Ustream na kampuni feki akiwashawishi models na kuwaambia kuwa anatafuta models chipukizi na kuwasaidia pia. Utaalamu wake umepitiliza hadi kutumia video za zamani za Amber kushawishi wadau kumfuata mawazo yake.

Mara tu watakapo kubaliana na kazi yake, basi atawaunganisha kwa matajiri kuwa na mahusiano nao ya kimapenzi na kuwaambia kuwa hiyo itawasaidia kukuza kipaji chapo na kufanikisha ndoto zao katika fani yao ya model.

Hataivyo mmoja wa models hao alitoa taarifa kwa shirika la polisi la Los Angeles LAPD kuhusiana na suala hilo.
Amber Rose hajaliongelea suala hilo hadi sasa.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top