Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Ben Pol kufanya collabo na Jason Derulo kutoka Marekani

Mfalme wa R&B Tanzania, Benard Michael Paul a.k.a Ben Pol ameweka wazi mipango yake ya kuupeleka muziki wake kimataifa kwa kutafuta collabo na wasanii wakubwa wa kimataifa.

Ben Pol ambaye kwa sasa yuko nchini Kenya alikoenda kushiriki kwenye msimu mpya wa kipindi cha Coke Studio Africa, amesema kuwa miongoni mwa wasanii ambao anategemea kufanya nao collabo ni pamoja na hit maker wa “Wiggle”, Jason Derulo kutoka Marekani.

Hit maker wa “Sophia” ameweka wazi mpango huo alipokuwa katika session ya kuulizwa maswali na mashabiki kupitia ukurasa wa Facebook wa Coca Cola.

Shabiki alimuuliza Ben pol endapo akipata nafasi ya kuchangua msanii wa kufanya naye collabo wa kimataifa atamchagua nani?

“Kwa sasa nafikiria kufanya collabo na Jason Derulo, kwa sababu ni msanii mchapakazi na anayezidi kukua na kuvuka mipaka siku hadi siku, Menejimenti yangu inaendelea kumtafuta, natumai tutafanikiwa.” alijibu Ben Pol.

Hadi sasa Ben Pol tayari amefanya collabo na Nameless na Rabbit wa Kenya.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top