Stori: Gladness Mallya na Musa Mateja
BAADA ya hivi karibuni kunaswa akiingia katika jengo lao, staa mwenye
mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper amezidi kugandwa na
skendo ya Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemason akidaiwa kuishi
kwa masharti ya taasisi hiyo huku nyumba yake ikiwa imejaa vitu
vinavyodaiwa kuwa vya ‘Ki-freemason’.
Staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper.
Akizungumza na gazeti hili, ‘dada’ wa kazi wa Wolper ambaye kwa sasa
ameacha kufanya kazi kwake huku akiomba hifadhi ya jina lake, alisema
mbali na vitu hivyo, staa huyo anaishi kwa masharti makali kwani kila
siku anaamka saa kumi alfajiri na wakati huo anamzuia dada huyo asiamke.
“Akiamka (Wolper) saa kumi hiyo alikuwa akinikataza nisiamke,
sikuwahi kujua huwa anafanya kitu gani akiamka na kwa nini alikuwa
akinikataza, ukweli maisha yake anaishi kwa masharti ya ajabuajabu
nahisi ni Freemason,” alisema dada huyo.
Michoro inayodhaniwa kuwa niya kifrimason.
Dada huyo alitaja kuwa nyumbani kwa mwigizaji huyo, Mbezi Beach
jijini Dar, kumesheheni mapambo kibao ya Kifreemason ambayo huyatunza na
kuyalinda kama binadamu hali ambayo ilikuwa ikimpa wakati mgumu kwani
hakuwahi kuona mambo kama hayo maishani mwake.
Dada huyo alitoa picha za vifaa vya ndani kama saa, picha za ukutani
vyenye alama zinazodaiwa kuwa za Freemason pamoja na picha ya mwili wa
Wolper ambayo imechorwa alama zinazodhaniwa kuwa ni za jamii hiyo ya
siri.
Na huu ukiwemo.
Baada ya kupata habari hizo, paparazi wetu alimtafuta Wolper ambaye alijibu kwa kifupi;
“Ni kweli huwa naamka saa kumi lakini ni kwa ajili tu ya kufanya
mazoezi, kuhusu hayo mengine napenda tu picha na vitu vyenye nembonembo
sasa mimi sijui kama ndizo za Freemason.”
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Friday, 12 June 2015
Post a Comment