Chande Abdallah
Kutoka kwenye mtima! Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’
amefungukia ishu ya kumbebea mimba mpenzi wake, Naftal Mlawa ‘Nuh
Mziwanda’ ili kuwafunga midomo wanawake wa mjini ambao wanamzengea jamaa
huyo.
Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa katika pozi na mpenzi wake Nuhu Mziwanda.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Shilole alitiriria kuwa, kwa muda mrefu
amekuwa akibanwa na kazi zake za muziki ambazo anafanya na mpenzi wake
huyo kiasi kwamba hawakufikiria kuhusu kupata mtoto mapema.
“Kwa sasa nimepanga kumbebea mimba na kumzalia Nuh,” alisema Shilole au Shishi Baby.
GPL
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Monday, 22 June 2015
Post a Comment