Musa Mateja
Msichana mmoja mrembo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja
hivi karibuni alifanya kitendo cha aibu baada ya kunaswa akimchomolea
simu Mwanamuziki Raheem Rumy Nanji ‘Bob Junior’.Tukio hilo la kushangaza
lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Bills Posta
jijini Dar, ambapo Bob Junior alikuwa miongoni mwa wasanii waliokuwa
wakipafomu.
Mrembo huyo akimpiga simu Mwanamuziki Raheem Rumy Nanji ‘Bob Junior’.
Awali, paparazi wetu alimuona mrembo huyo akipanda jukwaani na
kuonekana kama aliyekuwa na lake jambo lakini alipofeli alishuka. Mara
ya pili demu huyo alipanda tena, safari hii alifanikiwa kumkumbatia
msanii huyo lakini katika hali ya kushangaza alionekana akihangaika
kuzama mfukoni mwa Bob Junior na kuichomoa simu kiulainiii.
Tukio hilo liliwafanya watu waliokuwa wakimkodolea macho kupiga
kelele za; Unaibiwa simuuu…unaibiwa simuuu…, kitendo kilichomfanya
msichana huyo kuirudisha mfukoni simu hiyo fasta kisha kushuka.
Haikuweza kufahamika mara moja kama alikuwa akitania au alidhamiria kuiba kilongalonga hicho
Baada ya tukio hilo mwandishi wetu alijaribu kuongea na Bob Junior
ambapo alisema. “Mimi awali sikujua kama naibiwa lakini yale makelele
ndiyo nikashituka, yaani yule demu bwana angeondoka na ile simu ingekuwa
balaa.”
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Thursday, 4 June 2015
Post a Comment