Staa wa michezo ya nusu utupu, Angela Renée White ‘Blac Chyna’.
New York, Marekani STAA wa
michezo ya nusu utupu, Angela Renée White ‘Blac Chyna’ amefanyiwa
upasuaji wa sura na kufanana na mwanamitindo, Kylie Jenner.

Blac kwa sasa yupo katika bifu na mwanamitindo huyo baada ya kuchukuliwa baba watoto wake, Michael Ray Nguyen-Stevenson ‘Tyga’.
“Mwanzoni Kylie alikuwa akitaka afanane kama Blac Chyna lakini
imekuwa kinyume kwani Blac alilisikia hilo na kuanza kufanya yeye
upasuaji ili afanane na Kylie,” kilisema chanzo.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Saturday, 20 June 2015
Post a Comment