Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza.
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ametangaza rasmi azma yake ya
kugombea kwa awamu ya tatu katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo, licha
ya kuendelea upinzani wa kila upande ndani na nje ya nchi hiyo wa
kumtaka asifanye hivyo.
Rais Nkurunziza alitangaza rasmi azma yake hiyo jana Ijumaa na
kuyataja maandamano ya wapinzani ambayo kwa mujibu wake yamegeuka kuwa
uasi, kwamba atayamaliza hivi karibuni.
Aidha rais huyo kijana aliahidi kuandaliwa haraka iwezekanavyo mazingira bora kwa ajili ya kufanyika uchaguzi ujao.
Tayari Tume Huru ya Uchaguzi nchini Burundi imemtaja Rais Pierre
Nkurunziza kuwa mgombea wa kwanza kusajiliwa katika tume hiyo kwa ajili
ya kushiriki katika uchaguzi huo uliopangwa kufanyika tarehe 26 Juni
mwaka huu.
Hii ni katika hali ambayo maandamano ya kupinga kugombea tena Rais
Nkurunzinza yangali yanaendelea nchini Burundi huku wimbi la wananchi wa
Burundi wanaokilimbilia nchi jirani za Tanzania, Rwanda, na DRC nalo
likizidi kuwa kubwa.
CHANZO: IRAN SWAHILI
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Updates
on Saturday, 9 May 2015
Post a Comment