Mzazi mwenzake Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr Sugu’, Faiza Ally.
Imelda mtema
MZAZI mwenzake
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr Sugu’, Faiza Ally hivi
karibuni alizua gumzo baada ya kutinga kwenye shoo ya Zari White Party
pande za Mlimani City jijini Dar akiwa ametinga shati pekee huku upande
wa chini wa mwili wake akiwa hajavaa chochote.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Faiza ambaye huko nyuma alishawahi
kuvaa ‘Pampers’ ukumbini katika sherehe yake ya kuzaliwa, alisema kama
ilivyokuwa awali, haoni tatizo lolote kutinga shati hilo pekee mwilini.
“Unajua binadamu bwana nilivyovaa Pampers wamechonga sana sasa
nilivyotinga shati bado watu wanachonga, sasa lipi jema na vazi hili
nililovaa nililifurahia sana kutoka ndani ya moyo wangu,” alisema Faiza.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Saturday, 9 May 2015
Post a Comment