Jamani
tubaki njia kuu!!! demu mmoja nchini kenya ameripotiwa kutembea na
wanaume zaidi ya 300 wakati anajua kabisa ni muathirika wa ukimwi. Demu
huyo aliamua kuchukua uamuzi huo mgumu kama njia ya kulipiza kisasi kwa
wanaume baada ya yeye kufanya mapenzi yasiyo salama na mwanaume
yaliyopelekea kuambukizwa ukimwi.Mwanafunzi
huyu kutoka Karabak University katika jiji la Nakuru aliamua kufunguka
kupitia facebook na kusema “nimesikia watu mkisambaza kashfa. Mimi nina
kashfa kubwa
zaidi nataka kuisema.” gazeti la daily post nchini kenya liliripoti.Mwanafunzi
huyu
aliliambia gazeti la daily post la kenya kwamba ana miaka 19 tu
kwasasa, na alikua ni bikira mpaka siku alipoenda club usiku na watu wa
miaka ya juu hapo chuoni kwake. Alipoamka aligundua mmoja wa watu hao
alifanya nae mapenzi bila ya yeye kujua sababu alikua amelewa kupita
kiasi.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Saturday, 23 May 2015
Post a Comment