Staa wa Bongo Movies na mtangazaji mwenye vituko vingi na kujiachia kwa
sana amekuja na mpya nyingine ya kuwakanya wanaomtukana katika mitandao
ya kijamii kila anapoweka picha zake.
Anti Lulu amesema asilimia kubwa ya watu wanamtukana anapoweka picha zinazomuonesha maumbile yake ni wanawake.
"
Asilimia kubwa ya wanawake ndio wanaongoza kunitukana nikiweka picha
zangu za Mungu alivyoniumba ..mapaja yangu,hips zangu ma**ko
yangu...sasa sijui kwanini mwatukana nyie wanawake angalieni nisiwabebee
mabwana au wanaume zenu kwa mlioolewa,mimi mmakonde na Mbondei..mtalia
na kusaga meno" aliandika hivyo katika ukurasa wake wa facebook.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Friday, 22 May 2015
Post a Comment