Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania bara ipo hapa

August 19 Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi Borniface Wambura ametangaza ratiba rasmi ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara ambapo Ligi Kuu itaanza Septemba 12 wiki moja baada ya timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars kucheza na timu ya taifa ya Nigeria mchezo wa kufuzu AFCON 2017.
DSC_0141
Wambura amethibitisha kupangwa kwa ratiba ya Ligi hiyo kwa kuzingatia mazingira ya timu zinakotoka na sehemu zinakoenda ili kuvisaidia vilabu kupunguza gharama za nauli, ratiba pia imepangwa kwa kuzingatia timu zitakazoshiriki klabu Bingwa barani Afrika na kombe la shirikisho.
Hata hivyo Wambura alitangaza pia kuanza kwa kombe la FA ambapo litashirikisha timu 64, timu 16 za Ligi Kuu, timu 24 za Ligi daraja la kwanza na timu 24 za Ligi daraja la pili kwani ujio wa Kombe la FA unakuja sambamba na neema ya kupatikana kwa mdhamini wa Kombe la FA.
Ratiba ya Kombe la FA itatoka baada ya kutoka kwa ratiba za Ligi daraja la kwanza na Ligi daraja la pili kwani timu shiriki zinategemea viwanja ambavyo pia vitatumika katika michezo ya Ligi Kuu.
“Msimu wa Ligi umeshafunguliwa kwa maana ya usajili ila kwa mashindano tutaanza kucheza Septemba 12 na tutamaliza mzunguuko wa kwanza Novemba 7 baada ya hapo tutaingia katika usajili wa dirisha dogo kupisha michuano ya Challenge Cup na tutaendelea December 19 na tutaenda kumaliza Ligi Mei 7 2016″>>>Wambura
Hii ni ratiba yote ya Ligi Kuu
1
2
3
4
5
6
7
8
9
11
1213
Hii ni sauti ya Wambura unaweza kumsikiliza
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top