Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Picha: Rapper Wiz Khalifa anamahusiano na msanii Rita Ora!

Mahusiano mapya. Wiz Khalifa ambaye bado hajawa wazi kwenye mahusiano ambayo anaweza kuwa kwa sasa kwanzia aachane na mke wake Amber Rose, Inawezekana akawa kwenye mahusiano mapya ya kimapenzi na Rita Ora.
Wiz Khalifa na kipenzi hicho Rita walianza kuonekana mara tu kwenye Teen Choice Awards ambazo zilifanyika jumapili iliyopita. Wawili hao walikuwa huru sana haswa wakati wakichukuliwa picha ya pamoja nyuma ya jukwaa.

Kwamujibu wa TMZ, wawili hao walionekana kutoka kama wapenzi na kwenda dinner usiku wa jumatatu nabaada ya hapo walitembelea studio ya muziki.








Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top