Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

OFM yanasa mabamedi wakijiuza

Kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Moavu (OFM) cha Global Publishers wakiongea na mhudumu wa baa moja iliyopo Ubungo External, Ilala jijini Dar .
Chande Abdallah na Deogratius Mongela
WAMENASWA! Kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Moavu (OFM) cha Global Publishers mwishoni mwa wiki kiliwanasa wahudumu wa baa wakiuzwa kwa wanywaji wanaohitaji huduma ya ngono katika mtego uliofanywa katika baa moja iliyopo Ubungo External, Ilala jijini Dar es Salaam.
Awali, mtoa habari wetu alikiambia kitengo hicho kuwa wako wahudumu wengi wa mabaa mbalimbali jijini Dar es Salaam wanaojiuza na kwamba wanafanya hivyo kwa kuwa wanapata baraka kutoka kwa viongozi wao (mameneja) ambao huwaruhusu kuondoka wakati wowote wakiwa kazini kwa makubaliano ya malipo ya shilingi elfu mbili (2000).
“Ukishalipa hiyo hela unaondoka naye na huko sasa ndiyo mnapoelewana wenyewe kama mtalipana kiasi gani kabla ya kufanya mapenzi, kifupi wengi wa wahudumu wa kwenye baa ni kama machangudoa, ile kazi ni utambulisho tu,” kilisema chanzo hicho na kuzitaja baa kadhaa jijini Dar zenye mtindo huo hasa za maeneo ya Ubungo, Tandale, Buguruni, Tandika na Mbagala Rangi Tatu.
OFM (3)
Wakiendelea kuongea na mhudumu huyo.
Baada ya kuzinyaka taarifa hizo, OFM iliingia kazini na kuanza na baa moja maeneo ya Ubungo External, lakini cha kushangaza, ilikutana na wahudumu wa kiume tu, ambao walisema wenzao wa kike walikuwa wameondoka na wateja.
Katika baa ya jirani yake, OFM ilifika na kuagiza vinywaji kama kawaida, kabla ya kuingia mzigoni kwa kumtongoza mhudumu mmoja wa kike, ikitaka kuondoka naye muda uleule.
ll
OFM: Mambo vipi?
BAAMEDI: Poa.
OFM: Njoo ukae hapa kuna jambo nataka kukueleza.
BAAMEDI: Mh! Siwezi kukaa, (huku akisogea na kumpa sikio Kamanda) haya niambie.
OFM: Nimevutiwa sana na wewe, naweza kukupata saa hivi?
BAAMEDI: Mh! Hapana, labda baadaye kwa sababu sasa hivi tuna wateja wengi, tupo bize sana.
OFM: Nitakupata muda gani?
BAAMEDI: Saa 4 hivi nitakuwa poa.
(alisema baamedi huyo huku akiondoka baada ya kuitwa meza nyingine).
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top