Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Karibu watu 60 wauawa Nigeria

Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa karibu watu 60 huenda waliuawa wakati wa shambulizi katika kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa nchini lililoendeshwa na watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa na Boko Haram

Shambulizi hilo lilitokea katika jimbo la Yobe lilifanyika Alhamisi iliyopita na habari hizo zimepatikana kutoka kwa wale walionusurika

Mwandishi wa BBC nchini Nigeria anasema kuwa ukweli kuwa ilichukua siku tano kabla ya shambulizi hilo kujulikana, ni ishara kuhusu jinsi hali ya usalama ilivyo eneo hilo

Walioshuhudia walisema kuwa wanamgambo wa Boko Haram waliwasili katika kijiji hicho wakitumia pikipiki ambapo walianza kuwafyatulia watu risasi

Mikakati ya jeshi Nigeria imelidhoofisha kundi la Boko Haram miezi ya hivi majuzi lakini sehemu zingine za kaskazini mashariki mwa Nigeria kama Yobe na jimbo jirani la Borno yako katika hali mbaya kiusalama
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top