Alikiba amekiri kutofurahishwa na uhasama unaondelea kati ya mashabiki
wake na mashabiki wa Diamond Platnumz kwenye mitandao ya kijamii japo
amesema hana uwezo wa kuzuia hali hiyo.
- “Unajua sisi ni vioo vya jamii na tunapendwa na watu wengi sasa
unapoona mambo yanatokea kama hivyo huwezi kufanya chochote na mimi
siwezi kuingilia suala lolote la mashabiki,” Alikiba amekiambia kipindi
cha Leo Tena cha Clouds FM.
- “Lakini kiukweli sifurahishwi nalo kama kuna uwezekano wangeacha tu. Kiukweli tusupport vya kwetu ili tuwende kwenda mbele.”
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Wednesday, 24 June 2015
Post a Comment