Gari lililoporwa likiwa na matundu ya risasi.
Polisi wakiwa eneo la tukio.
Mmiliki wa gari kushoto akitoa maelezo kwa polisi.
Askari wa usalama barabarani akilikagua gari.
MAJAMBAZI wanaokadiriwa kuwa watatu leo mchana wamefanya uporaji
kwenye maduka matatu ya kutoa na kuweka fedha kwa njia ya simu maeneo ya
Mikocheni Kwa-Mwalimu Nyerere jijini Dar ambapo baadaye walitoroka na
wawili kati yao kukamatwa.
Mashahidi waliokuwepo aneo husika walisema baada ya uporaji huo,
majambazi hao walipora gari aina ya Suzuki-Vitara na kuondoka nalo
lakini walipofika mita chache karibu na baa maarufu ya Rose Garden, gari
hilo liliwagomea kwenda na kuanza kupiga king’ora cha hatari (alarm)
kitendo kilichowafanya washuke na kuanza kutafuta njia nyingine ya
kujiokoa ambapo aliyeshika ‘fuba’ la fedha alifanikiwa kupora pikipiki
aina ya Boxer na kutokomea na wawili waliokuwa wakitafuta njia ya
kujinasua walitiwa mbaroni na askari polisi waliokuwa wakiwafukuza.
GPL
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Updates
on Monday, 22 June 2015
Post a Comment