Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Wanachama wa CUF wamezingira ofisi za Chama Hicho Wakitaka Kujua hatima ya Prof.Ibrahim Lipumba Aliyedawai kutaka Kujiuzulu

Leo ilikuwa Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim azungumze na Wanahabari asubuhi, ila mkutano huo umehairishwa hadi siku nyingine tena.
 
Wanachama wa chama cha wananchi CUF walizingira ofisi za chama hicho wakiongozwa na wazee wakitaka kujua hatima ya mwenyekiti wao Prof.Ibrahim Lipumba aliyedawai kutaka kujiuzulu.
Magdalena Sakaya alipoulizwa Prof. Lipumba alitaka kuzungumza nini amejibu hata  wao hawajui kitu alichotaka kuwaambia wananchi  
 
Magdalena alisema sababu kubwa ya kusitishwa mkutano  huo ni kuwa  Wazee wa CUF wametaka kujua kwanza ni kitu gani Mwenyekiti anataka kuongea.
 
Wananchi nje ya ofisi za CUF walikuwa wanashangilia wakiimba kwa kusema..... "Si mnaona, muziki wa Lipumba kuuzima hamuwezi"
 
Mmoja wa Wananchi waliokuwa wanashangilia alisema wamefurahia kwakuwa wanaamini Mwenyekiti wao Lipumba hatajiuzulu na yuko na wananchi.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;

Post a Comment

www.7x24hours.blogspot.com
© Copyright 24hours
Back To Top