WATU wanne wanasadikiwa kupoteza maisha baada ya Basi la Kampuni ya Sabuni Express linalofanya safari zake kati ya Karagwe na Mwanza kugongana uso kwa uso na gari ndogo aina ya Toyota Land Cruiser iliyokuwa imebeba masista ikitokea Bukoba Mjini kuelekea Mutukura.
Loading...
AJALI MBAYA YAUWA WANNE KAGERA
WATU wanne wanasadikiwa kupoteza maisha baada ya Basi la Kampuni ya Sabuni Express linalofanya safari zake kati ya Karagwe na Mwanza kugongana uso kwa uso na gari ndogo aina ya Toyota Land Cruiser iliyokuwa imebeba masista ikitokea Bukoba Mjini kuelekea Mutukura.
Post a Comment