Imelda Mtema
Baada ya kupotea kwa muda mrefu, msanii wa filamu ambaye pia ni Miss
Ruvuma 2007, Neema Chande ameibuka akiwa na mimba kubwa huku kukiwa na
usiri juu ya mhusika wa tumbo hilo.
Msanii wa filamu ambaye pia ni Miss Ruvuma 2007, Neema Chande.
Neema hivi karibuni alikimbilia nchini India kusaka maisha na
alipozungumza na mwandishi wetu juzi kwa njia ya simu alisema, watu
wajue tu kwamba ana mimba aliyopewa na Muafrika mwenzake na anatarajia
kujifungua ‘soon’.
“Nimefurahi sana kwani siku zote nilikuwa nikitamani maisha haya ya
kulea tumbo na ‘soon’ nitarudi Tanzania kwa ajili ya kumuweka wazi baba
kijacho kwani tuna mipango mizuri ya maisha,” alisema Neema.
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:.;
Filed Under:
Gossip
on Thursday, 4 June 2015
Post a Comment